iqna

IQNA

ayatullah rafsanjani
Rais Hassan Rouhani
IQNA- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Kuaga dunia Ayatullah Hashemi Rafsanjani, ni msiba mkubwa ambao umepelekea Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kupoteza tegemeo lake kubwa."
Habari ID: 3470798    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/16

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, ametoa salamu za rambirambi kufuatia kufariki dunia Ayatullah Hashemi Rafsanjani.
Habari ID: 3470790    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/09